Jamaa wa miaka 30 afanya harusi na NYANYA wa miaka 90 kanisani (picha)

Posted by Aldo Pusey on Friday, August 30, 2024

- Mwanamume anayedhaniwa kuwa na miaka 30 alifunga pingu za maisha na mwanamke mkongwe kupindukia, labda miaka 90 katika hafla ya kufana

- Mwanamume huyo alielezea mapenzi yake kwa kikongwe huyo mzungu. Habari kuhusiana na walivyokutana ni nadra

Habari Nyingine: Mhubiri aonya watu dhidi ya kukula UGALI, jua sababu

Mwanamume Mwafrika hivi majuzi aliamua kuoa mwanamke mkongwe mzungu, labda rika ya nyanya wa mamake katika harusi iliyofanyiwa kanisani.

Pata HAPA habari za TUKO.co.ke punde tu zinapochapishwa

Mwanamume huyo alieleza kumpenda kimapenzi nyanya huyo ambaye alionekana kumwangalia kwa upembe wa jicho na kutabasamu wakitembea kanisani, na kuwaacha watu wakishangaa.

Habari Nyingine: Kisa cha mama huyu mchanga chamfanya Mike Sonko KUBUBUJIKWA na machozi (video)

Habari kuhusiana na kisa hicho cha kushangaza bado ni nadra, lakini tuliweza kupata picha zao.

Tazama video ya mtoto wa miaka tisa aliyemwoa mwanamke wa miaka 61.

Subscribe to watch new videos

Read ENGLISH VERSION

Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: aron.mtunji@tuko.co.ke

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdiaH91gJNmoZqlkZZ6uK2MpqCao5FigHF5wJ%2BYp7GRYrWivtSsoGamkWK7uq3Nsphmr5FiuqqtyppkcmhdoK6vtdKapaJloJ6wqa2NoaumpA%3D%3D